Tuesday, 29 October 2013

CHEKI PICHA ZA MTU ANAYEWEKA RECORD KWASASA DUNIANI KUTOKANA NA UREFU WA MWILI WAKE ATOA KALI JANA KWENYE NDOA YAKE.

Huyu jamaa Ndiye anayeshikilia Record ya Dunia Kwa sasa Kuwa Ndiyo mtu mrefu zaidi Duniani. Jana amefunga Pingu za maisha. Chakushangaza zaidi Kutokana na kukosa Mwanamke wa Kulingana naye jana alimake Headline katika Mitandao kwa Kuchukuwa kimwana chenye Urefu wa Futi 2 na Nchi 7 {World’s tallest man gets married to woman who is 2 feet, 7 inches shorter -  }
HAPA AKIPIGWA PICHA NA WAANDISHI WA HABARI KUTOKA NCHI MBALIMBALI
Anaondoka na Kimwana Chake kama ilivyo ADA
PANDE ZA UKUMBINI WAKILA BATA
KAMA KAWAIDA KIPENGELE HIKI NI MUHIMU

0 comments:

Post a Comment