
Upo single? Una shilingi milioni 43 za
kuchezea? Basi mrembo huyu wa Urusi, anakupa fursa ya kulimenya ganda
lake vyovyote utakavyo kwa mkwanja huo.
Mrembo huyo aitwaye Shatuniha ameinadi
bikira yake £17,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 43 za Kibongo.
Shatuniha, 18, alisema: “Nina shida ya haraka ya hela, hivyo nauza kitu
changu cha thamani zaidi ninachomiliki. Niko tayari kukutana na mtu
haraka iwezekanavyo, hata kama ni kesho na nipo tayari kuthibitisha kama
kweli ni bikira.
Naweza kuja kwenye hoteli pale Predmostnaya Square nikiwa na nyaraka za kuthibitisha ubikira wangu, na mtu ambaye atachukua hela na kuondoka ili nisiingizwe mjini. Mtu huyu ataondoka na hela lakini mimi nitabaki. Pesa inatakiwa kuwa cash tu.”
0 comments:
Post a Comment