Monday 16 December 2013

ABAMBWA AKIOGA NJE ,SIO KWAMBA NI CHIZI AU HANA AKILI TIMAMU NI KWAMBA AMEAMUA TU KUJIACHIA.. NI SHIDAAA..!!

http://www.theclicktz.com/
Binti huyu alinaswa akioga nje huku akiwa uchi kabisaa, hii ni hatari sana kwa mazingira yetu ya kiafrica kwani ni kitu cha ajabu mtu kuamua kuoga nje wakati sehumu za kujistiri zipo kama mabafu.

0 comments:

Post a Comment