Wednesday 4 December 2013

KALI YA MWAKA: WACHINA WAFUMWA WAKIPEANA URODA KWENYE KICHAKA

Msafara wa mamba kenge wao. Haya mambo nilidhani yako Afrika tu
[Image: 0.jpg]



[Image: 1.jpg]
Mpiga picha wetu akiwa katika zunguka zunguka hapa bongo alikutana na kioja cha ajabu baada ya kuwakuta wachina hawa wakifanya yao mpango mzima ulikuwa hivi mpiga picha akiwa katika
 ishu ya kutafuta location kwa ajiri ya nyimbo mpya ya afro magic wale wazee wa mihogo tupogo rmx baada ya safari ya mda akataka kuchafua mazingira kwa aja ndogo alisikia kelele zikitoka kwa mbali basi si unajua wazee wa udaku akaenda kuchunguza ndipo alipo ona rangi nyeupe ikipanda nakushuka akajua basi watu wapo na katikio kidogo aliposogea ndipo alipowaona hao wachina akawafotoa foto pwaa

0 comments:

Post a Comment