Dada huyu ambaye ni mke wa mtu alidakwa live na mume wake ambaye pia
alijifanya mteja na kuja na gari alipofika eneo la tukio mke wake
alikuja haraka huku akidhani ni mteja ili waweze kuelewana mara kumbe ni
mume wake mwanamke aliishiwa pozi na kuanza kulia.
0 comments:
Post a Comment