Kwakweli sasa imekuwa kero kwa siku napata simu hata hamsini na wote
wakitaka mimi niwe mpenzi wao, wote wakipiga huanza kunisifia na
kuniahidi mambo makubwa. Mimi naogopa kwani sielewi yupi mkweli au yupi
muongo. siwezi kubadili namba kwani nimeitumia hata kwenye cv yangu pia
nimeitumia kwa muda mrefu sana Sijui nifanyaje, nikipita mtaani watu
hunishangaa hadi nakosa kabisa amani. Ushauri jamani..!! NO NO NO NOMA
SANA...!!
0 comments:
Post a Comment